Leo CCM inaanza amsha amsha ya nchi nzima ya kunadi ilani yake ya uchaguzi ambayo itawashawishi Watanzania kuichagua kwa kipindi kingine cha miaka mitano dhidi ya wapinzani wao wakubwa UKAWA.
Amsha amsha hiyo inaanzia Jijini Dar katika viwanja vya Jangwani, na baadaye kuivamia kanda ya Nyanda za juu Kusini Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mbeya.







No comments:
Post a Comment