Social Icons

Thursday 19 May 2016

Besigye aamua kujitetea mwenyewe mahakamani

Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Dr Kizza Besigye, alifikishwa mahakamani siku ya Jumatano na kusomewa upya mashitaka ya uhaini, pasipo uwakilishi wa mawakili wake mahakamani.

Uganda Afrika Kizza Besigye Forum for Democratic Change Forum demokratischer Wandel

Kiongozi huyo aliyekuwa chini ya ulinzi mkali alirejeshwa katika gereza la Luzira nchini humo hadi Juni mosi wakati kesi yake itakaposomwa tena. John Mary Mugisha, mwanasheria na wakili wa waziri mkuu wa zamani wa Uganda amezungumza na Sudi Mnette juu y hatua ya Besigye kwenda mahakamani bila wakili.

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Chanzo. Dw.de

No comments:

 
 
Blogger Templates