Social Icons

Thursday, 29 August 2013

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE: Wanasiasa na vituko vyao.



IMG_0491 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na  Wabunge wa Upinzani  kwenye viwanja 
vya Bunge mjini Dodoma Agosti 28, 2013.  Kustoka kushoto ni Mbunge wa Kigoma 
Kusini, David Kafulila, Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Mbunge 
                      wa Ilemela, Highness Kiwia. (picha na Ofisi ya waziri Mkuu).
IMG_0462 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mbunge wa Kahama James Lembeli (kushoto) na Mbungewa Mafia, Abdulkarim Shah (katikati) kwenye   Ofisi za Bunge Mjini Dodoma Agosti 28,201.
                           Picha na Ofisi ya WaziriMkuu)  IMG_0476 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Makamu wa Pili wa rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma 
           Agosti 28,   2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0480 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Agosti 28, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0511 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitetana Mbunge wa Ilemela, Highness Kiwia  kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. Augosti 28, 2013. 
                            (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

 
 
Blogger Templates