Social Icons

Friday, 24 January 2014

MIKUTANO YA CHADEMA RUNGWE, KYELA NA MBAMBABAY

Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa Akihutubia wakazi wa Kyela, Mbeya katika ziara zinazoendelea za Operesheni Pamoja Daima
Mbunge wa Iringa Mjini Mh Peter Msigwa akihutubia wakazi wa Kyela Mbeya
Dr Slaa wakati anaagana na wakazi wa Mbambabay
Dr Slaa akimnadi Mgombea wa Udiwanio

No comments:

 
 
Blogger Templates