Social Icons

Wednesday, 19 October 2016

Siku ya maadhimisho ya kifo cha Mwl Nyerere

Tanzania yamkumbuka Mwalimu Nyerere

Mwalimu Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999, akiwa Uingereza alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na saratani ya damu. Watanzania wanaadhimisha siku yake kwa mapumziko na mikutano yenye lengo la kumuenzi.

Mwalimu Azaveli Lwaitama katika mahojiano

Sudi Mnette amezungumza na Mwalimu Azaveli Lwaitama, mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwanza anaeleza siku hii inamkumbusha nini.

No comments:

 
 
Blogger Templates