Kutoka mwanzo mpya kufikia mvutano
Obama alianza uongozi wake kwa ahadi ya kuanzisha upya uhusiano wa Marekani na Urusi, hata kumpeleka aliyekuwa rais Dmitry Medvedev kupata chakula mwaka 2010. Lakini kutekwa kwa eneo la Crimea mwaka 2014, Urusi kumuunga mkono Rais wa Syria, Bashar al-Assad na shutuma dhidi ya Urusi kwa kuingilia uchaguzi wa Marekani, kulisababisha uhasama kati ya mataifa hayo mawili.
No comments:
Post a Comment