Social Icons

Saturday, 14 September 2013

LEO MBEYA KAZI IPO YANGA NA MBEYA CITY.....

Mashabiki wa Yanga waanza kushangilia ushindi kabla ya mchezo angalia picha zifuatazo:

Mashabiki wa timu ya Yanga toka Tunduma wakiwa eneo la njia panda Ilomba ili kuwaongezea nguvu mashabiki wa Yanga waliotoka Dar.

Mashabiki wa Yanga toka Dar wakiwa jijini Mbeya wakielekea katika uwanja wa Sokoine tayari kuishangilia timu yao.

Basi lililowabeba mashabiki wa timu ya Yanga toka Tunduma likielekea uwanja wa Sokoine

Mashabiki wa Yanga wakiwa wamepagawa na kuishangilia timu yao



Mashabiki wa Yanga wakicheza ngoma eneo la Njia panda Ilomba

Shabiki namba moja wa Yanga toka Dar, akishangilia ushindi kabla ya mchezo.


                                                     Picha zote na Basahama blog.






No comments:

 
 
Blogger Templates