Ukaguzi wa barabara Stamico kwenda Ngumbati ambayo inajengwa kwa gharama ya Shilingi Milioni 78. Picha chini ni sehemu ya barabara hiyo inavyoendelea kutengenezwa.
Barabara ya Stamico - Ngumbati, Wajumbe wa Kamati ya Fedha Utawala na Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe wakiwa katika ukaguzi.
No comments:
Post a Comment