Social Icons

Saturday 10 May 2014

Chama tawala cha ANC kinaongoza kwa kura Afrika Kusini

Chama tawala nchini Afrika Kusini African National Congress ANC kimeshinda kwa zaidi ya asilimi sitini katika uchaguzi wa bunge na kuendeleza uongozi wa chama hicho .

Uchaguzi wa Afrika Kusini

Uchaguzi wa Afrika Kusini

Chama hicho ambacho kimekuwepo madarakani kwa miaka ishirini sasa tangu kukamilika enzi za ubaguzi wa rangi nchini humo kinamhakikishia Rais Jacob Zuma muhula wa pili madarakani licha ya kuzongwa na kashfa mbali mbali. Caro Robi amezungumza na mwandishi habari Isaac Khomo aliye mjini Johannesburg na kwanza alimuuliza ushindi huu wa ANC una maanisha nini? Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Chanzo: dw.de


No comments:

 
 
Blogger Templates