Social Icons

Monday 4 April 2022

Athman Hemed Sampa afariki dunia

Aliyekuwa Diwani wa Kata ya Busale Wilayani Kyela Mhe. Athman Sampa amefariki dunia katika hospital ya Rufaa Mbeya. Marehemu Sampa kabla ya kuwa Diwani alishi nyazifa mbali mbali katika Chama Cha Mapinduzi zikiwemo, Mwenyekiti UVCCMwilaya ya Kyela, Mjumbe Kamati Siasa Mkoa Mbeya, Katibu Mwenezi Wilaya ya Kyela n.k

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu Athman Hemed Sampa mahala pema peponi Amina.

No comments:

 
 
Blogger Templates